MUziki
NGOMA KALI KUTOKA KWA MSANII ANAYEKUJA KWA KASI
NGOMA INAITWA ZUNGUCHA AMEIMBA Ton voice ft Njiwa comedian
https://audiomack.com/song/ramadinhojr/prod-by-zinja-smm
NGOMA INAITWA ZUNGUCHA AMEIMBA Ton voice ft Njiwa comedian
https://audiomack.com/song/ramadinhojr/prod-by-zinja-smm
#KIGOMA:
Msanii wa muziki wa Bongofleva aitwaye Clayton Chipando alimarufu kama
BABA LEVO ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Mwanga Kaskazini
(ACT_Wazalendo) manispaa ya Kigoma ujiji ,amefikishwa Mahakamani na
kupandishwa kizimbani katika mahakama ya Hakimu mkazi mkoani Kigoma
akikabiliwa na mashtaka matatu, ambayo ni (1).Kutoa lugha ya matusi
(2).Kumpiga muuguzi (3).Kufanya fujo katika Zahanati ya Msufini iliyopo
Kata ya Mwanga Kaskazini.
Msanii huyo alitenda makosa hayo Aprili 12 ,2018 akiwa katika Zahanati hiyo.
Msanii huyo alitenda makosa hayo Aprili 12 ,2018 akiwa katika Zahanati hiyo.
Comments
Post a Comment