Wasanii
Kibajaj comedian anawatakia mwezi mwema wa ramadhan
Pia ameomba Watanzania tusikilize muongozo wa viongozi wetu kuhusu janga ili la corona
TUNAKUKUMBUKA DAIMA MZEE WETU MAJUTO
InshaAllah upumzke kwa aman Mzee wetu King Majuto
Tulikupenda ila Mungu alikupenda zaid
Allah akupe kaul thabit Alhaj Amr Athuman
MZEE MAJUTO AMESAFIRISHWA LEO
Muigizaji
na Mchekeshaji maarufu hapa nchini KING MAJUTO amesafirishwa kwenda
nchini India kufanyiwa matibabu ya tatizo linalomsumbua.
Amesafirishwa Leo ,Ijumaa tarehe 4/5/2018.
Andika neno la kumuombea na kumtakia matibabu mema Mzee wetu (King Majuto) ili afya yake iimalike.
Amesafirishwa Leo ,Ijumaa tarehe 4/5/2018.
Andika neno la kumuombea na kumtakia matibabu mema Mzee wetu (King Majuto) ili afya yake iimalike.
Comments
Post a Comment